Luke 8:22-23

Yesu Atuliza Dhoruba

(Mathayo 8:23-27; Marko 4:35-41)

22 a bSiku moja Yesu alipanda ndani ya mashua pamoja na wanafunzi wake, akawaambia, “Tuvukeni twende mpaka ngʼambo ya ziwa.” Nao wakaondoka. 23Hivyo walipokuwa wakienda, akalala usingizi. Dhoruba kali ikatokea mle ziwani, hata mashua ikawa inajaa maji, nao walikuwa katika hatari kubwa.

Copyright information for SwhNEN